Machapisho

ISRAELI YADUNGUA KOMBOLA KUTOKA YEMEN

Picha
WAASI wa Houthi wameapa kuiwajibisha #Israel baada Waziri Mkuu wao Ahmed Ghaleb Nasser Al-Rahawi na maofisa wengine 11 wa ngazi ya juu kuuawa katika shambulio la wanajeshi wa Israel wiki iliopita katika Mji wa #sanaa. #HouthiRebels Jeneza la Waziri Mkuu wa Houthi Ahmed al-Rahawi Sept. 1, 2025. 

WAAJIRI WATAKIWA KULIPA STAHIKI ZA MADEREVA KWA WAKATI

Picha
Na Hamida Ramadhan, Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka waajiri wa taasisi za umma kuhakikisha wanalipa stahiki za madereva kwa wakati, kutoa mafunzo ya mara kwa mara, kutekeleza ipasavyo miundo ya ajira na kuwapa motisha ili kuongeza tija katika utendaji kazi wao. Akizungumza jijini Dodoma wakati wa kufungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST), Waziri Mkuu amesema madereva wa Serikali wana mchango mkubwa katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku ya Serikali na hivyo wanapaswa kuheshimiwa na kuthaminiwa. "Waajiri mnapaswa kuhakikisha madereva wanalipwa stahiki zao kwa wakati, wanapewa mafunzo stahiki na kuzingatiwa katika motisha mbalimbali. Hii itawajengea morali na kuongeza ufanisi katika kazi zao," amesema Majaliwa. Aidha, amesisitiza kuwa madereva wanawajibu wa kufanya kazi kwa weledi na nidhamu ya hali ya juu, ikiwa ni pamoja na kuhakiki usalama wa vyombo vya usafiri, abiria, mizigo na nyaraka za Serikali. “Madereva mnatakiwa kufanya...

TAARIFA KWA UMMA

Picha
 

MAJIKO BANIFU KUPUNGUZA MATUMIZI YA MKAA NA KUNI MBEYA

Picha
*Majiko banifu 9,330 kusambazwa na kuuzwa kwa bei ya ruzuku mkoani Mbeya.  Wilaya Sita kunufaika na mradi.  Kila Wilaya kupata majiko 1,555*  Na Mwandishi Wetu, Mbeya.  SERIKALI ya Mkoa wa Mbeya kupitia Katibu Tawala wa Mkoa Ndugu, Rodrick Mpogolo leo Jumanne Septemba 2, 2025 imepokea mradi wa usambazaji na uuzaji wa majiko banifu 9,330 yenye ufanisi mkubwa katika utumiaji wake. Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa taarifa ya mradi Mhandisi wa miradi kutoka wakala wa nishaji vijijini (REA), Raya Majallah amesema, Kupitia utafiti uliofanyika 2016 unakadiria kuwa takribani watu 33,024 hufariki kabla ya wakati kila mwaka hii ni sawa na asilimia 8.49 ya vifo vyote nchini Tanzania, kutokana na magonjwa ambayo yanachangiwa na uchafuzi wa hewa ndani ya nyumba wakati wa upikaji kwa kutumia nishati isiyo safi na salama. Hivyo kwa kutambua hilo, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini imeaanda mpango wa uuzaji na usambazaji majiko banifu 200,000 kwa bei ya ruzuku ili kupu...

MICHEZO

Picha
RATIBA ya Michuano ya Kagame Cup 2025.   

DKT. LADISLAUS CHANG’A ASHIRIKI KATIKA MKUTANO WA 6 WA MAWAZIRI NA MAMLAKA ZA MAZINGIRA WA ASIA NA PASIFIKI

Picha
Nadi, Fiji.  KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi (IPCC), Dkt. Ladislaus Chang’a, kwa mwaliko wa Programu ya Umoja wa Mataifa uratibu wa Mazingira (UNEP) ameshiriki kikamilifu katika Mkutano wa 6 wa Mawaziri na Mamlaka za Mazingira wa Asia na Pasifiki (6th AP Forum) uliofanyika kuanzia tarehe 26–29 Agosti 2025 Jijini Nadi, Fiji. Mkutano huo uliandaliwa kwa pamoja na Serikali ya Fiji na UNEP ukiwa na kaulimbiu “Kutafuta Suluhisho Endelevu katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa na tabianchi Duniani”. Sambamba na mkutano huo, Dkt. Chang’a alikuwa na vikao mbalimbali na waheshimiwa na taasisi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kikao na Mhe. Rupa B. K., Waziri wa Serikali ya Nepal, Wizara ya Misitu na Mazingira, ambapo alimpatia taarifa kuhusu mpango kazi wa IPCC unaotekelezwa hadi mwaka 2029.  Mazungumzo hayo yalijikita katika kuimarisha ushirikiano wa kikan...

REA YAENDELEA KUTEKELEZA KWA VITENDO MKAKATI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Picha
 *Majiko banifu 4,836 kusambazwa na kuuzwa kwa bei ya ruzuku mkoa wa Njombe.  Jiko moja kuuzwa kwa bei ya ruzuku ya TZS 8,850 tu.  📌 *Kila walaya kupata majiko 1,209*  Na Mwandishi Wetu, Njombe.  KATIBU Tawala wa Mkoa wa Njombe Bi. Judica Omari amekutana na Timu ya Wataalam kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA) leo Septemba 1, 2025 na kupata taarifa ya mradi wa usambazaji na uuzaji wa majiko banifu kwa bei ya ruzuku ambao unatarajia kuanzia mapema mwezi wa 9, 2025. Akiwasilisha taarifa ya mradi kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe, Mhandisi wa miradi Kutoka wakala wa Nishati Vijijini, Raya Majallah, amesema, Wakati Taifa likiwa kwenye mkakati wa kuhakikisha Watanzania wanatumia nishati safi na salama ya kupikia, Wakala wa Nishati Vijijini umekuja na mpango wa usambazaji na uuzaji wa  majiko banifu 200,000 kwa bei ya ruzuku yanayotumia kuni na mkaa mchache sana na yenye ufanisi mkubwa katika matumizi yake. Mradi huu umekuja kwa lengo la kuimarisha na kubor...

WANANCHI WAHIMIZWA KUACHA MATUMIZI YA MKAA NA KUNI, WATAKIWA KUTUMIA MAJIKO YA NISHATI SAFI

Picha
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.  ILI kupunguza madhara ya kiafya na kimazingira yanayosababishwa na matumizi ya kuni na mkaa, wananchi wametakiwa kuachana na nishati hizo na kuhamia kwenye matumizi ya majiko yanayotumia umeme na sola kupitia kampeni ya kitaifa ya Pika Smart. Kampeni hii imefika mkoa wa tano kwa Dodoma huku lengo likiwa ni kuelimisha jamii kuhusu faida za kutumia nishati safi kwa gharama nafuu ambayo inalenga kupunguza utegemezi wa nishati zisizo salama na zisizo endelevu. Akizungumza wakati wa kampeni hiyo Septemba Mosi jijini Dodoma, Rightness Felix Balozi wa Pika Smart, amesema kuwa matumizi ya kuni na mkaa yana gharama kubwa kwa familia na yana madhara kwa afya na mazingira.  “Kwa kutumia majiko ya umeme, mtu anaweza kupika kwa gharama ndogo sana. Kwa mfano, unaweza kutumia shilingi 1,000 tu na ukapika mlo wako bila moshi wala madhara ya kiafya tuna vifaa salama kabisa, tofauti na mitazamo iliyokuwepo awali kuwa majiko ya umeme yanapiga shoti,” amesema Felix. Am...

MICHEZO

Picha
NAIBU katibu Mkuu wa Wizara  ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amewaaga wanamichezo wa wizara hiyo watakaoshiriki katika michezo ya Shirikisho la Michezo kwa wizara na Idara za serikali leo Septemba 1, 2025 kuelekea Jijini Mwanza. Felister ametoa rai kwa washiriki hao kuwa makini na kujali afya zao pindi wanapokuwa katika mashidano hayo ili waweze kurejea salama na kuendelea na majukumu yao.

TAARIFA KWA UMMA

Picha
 

TAARIFA KWA UMMA

Picha
Gaza  ABU Obeida, anayejulikana kwa kuonekana akiwa amejifunika uso kwenye ujumbe wa video, alikuwa msemaji wa kikosi cha kijeshi cha Qassam na sauti kuu ya propaganda ya Hamas. Tangu kuanza kwa vita vya Gaza, Israel imewaua viongozi kadhaa wa Hamas, akiwemo Yahya Sinwar, anaetajwa kuwa mpangaji mkuu wa mashambulizi ya Oktoba 7, 2023 kusini mwa Israel.  #Gaza #Israel #Hamas #AbuObeida #MiddleEastConflict Credit DW. 

JESHI LA ISRAEL LAFANYA MASHAMBULIZI USIKU KUCHA GAZA

Picha
JESHI la Israel limefanya mashambulizi ya usiku kucha kwenye maeneo yaliyoko Mjini Gaza kutokea angani na ardhini na kuharibu majumba na kuzilazimu familia zaidi kuondoka eneo hilo. #Gaza #Israel #evacuation

NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUTUMIKA MAGEREZA YOTE NCHINI

Picha
Matukio mbalimbali katika picha yakimuonesha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia magerezani, iliyofanyika Agosti 30, 2025, Gereza Karanga, Kilimanjaro.