ISRAELI YADUNGUA KOMBOLA KUTOKA YEMEN




WAASI wa Houthi wameapa kuiwajibisha #Israel baada Waziri Mkuu wao Ahmed Ghaleb Nasser Al-Rahawi na maofisa wengine 11 wa ngazi ya juu kuuawa katika shambulio la wanajeshi wa Israel wiki iliopita katika Mji wa #sanaa.

#HouthiRebels

Jeneza la Waziri Mkuu wa Houthi Ahmed al-Rahawi Sept. 1, 2025. 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.