Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba 6, 2025

MAKAMU MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO TANZANIA BARA AKAMATWA NA POLISI

Picha
MAKAMU Mwenyekiti ACT Wazalendo   Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita   amekamatwa na Polisi muda huu akiwa Lindi baada ya uzinduzi wa kampeni. Ukamatwaji wake ulihusisha na upigwaji wa mabomu ya machozi ili kusambaratisha watu.