MAKAMU MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO TANZANIA BARA AKAMATWA NA POLISI
MAKAMU Mwenyekiti ACT Wazalendo Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita amekamatwa na Polisi muda huu akiwa Lindi baada ya uzinduzi wa kampeni. Ukamatwaji wake ulihusisha na upigwaji wa mabomu ya machozi ili kusambaratisha watu.