MAKAMU MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO TANZANIA BARA AKAMATWA NA POLISI




MAKAMU Mwenyekiti ACT Wazalendo   Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita   amekamatwa na Polisi muda huu akiwa Lindi baada ya uzinduzi wa kampeni. Ukamatwaji wake ulihusisha na upigwaji wa mabomu ya machozi ili kusambaratisha watu.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.