Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 25, 2025

KONYAGI INATOA FURSA YA KIPEKEE MSIMU HUU WA SIKUU

Picha
Konyagi inatoa fursa ya kipekee mashabiki wake kujishinda Zawadi mbali mbali kupitia maswali mbali mbali.

TANGAZO

Picha
Kwa Matangazo wasiliana nasi kupitia namba 0789852956 na 0624489100. Tunatoa punguzo kwa kila Tangazo katika kipindi hiki cha Msimu wa Sikuu ya Krismas na Mwaka Mpya. Mteja wetu na mdau wetu wa habari wahi mapema......

MIRERANI WAWAPATIA TABASAMU LA SIKUKUU WATOTO YATIMA

Picha
  Na Mwandishi wetu, Mirerani MAMLAKA ya Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imewapatia zawadi ya vyakula, mbuzi na fedha taslimu, watoto yatima na waliokuwa wanaishi katika mazingira hatarishi wa kituo cha Light In Africa kwenye kusherehekea sikukuu ya Christmas na mwaka mpya wa 2026 kwa tabasamu. Afisa mtendaji mkuu wa mamlaka ya mji mdogo wa Mirerani, (TEO) Isack Mgaya akizungumza wakati akikabidhi vyakula hivyo ameeleza kwamba gharama walizotumia kuwapatia tabasamu watoto hao ni shilingi 1,847,000. Mgaya amesema lengo lao ni kuwapa tabasamu  kwenye sikukuu ya Christmas na mwaka mpya wa 2026 watoto hao wa kituo cha Light In Africa ambao ni yatima na waliokuwa wanaoishi katika mazingira hatarishi washerehekee kwa furaha. Amesema pamoja na kuwapa fedha taslimu shilingi 220,000 wametumia shilingi 1,627,000 katika kununua mahitaji mbalimbali ikiwemo mbuzi mmoja, nyama kilo 10  na vyakula kwa ajili ya kusherehekea sikukuu hizo za mwisho wa mwaka. Ameele...