Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba 13, 2025

MPINA AREJESHA FOMU YA URAIS ACT - WAZALENDO

Picha
Mpina akirejesha Fomu za Urais ACT-Wazalendo baada ya Uamuzi wa Mahakama

TAARIFA KWA UMMA.

Picha
LEO Septemba 13. 2025 Saa 6:00 Mchana Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo Ndugu  Luhaga Joelson Mpina, ataongea na waandishi wa Habari baada ya kurejesha fomu zake katika ofisi ya Tume jijini Dar esSalaam Mkutano utafanyika Makao Makuu ya ACT Wazalendo Magomeni Waandishi wa Habari Mnakaribishwa Kuhudhuria @ACT @Tumehuruyataifayauchaguzi @Tujitokezekupigakuraoctoba29  @Luhangampina @Zitokabwe