LEO Septemba 13. 2025 Saa 6:00 Mchana Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo Ndugu Luhaga Joelson Mpina, ataongea na waandishi wa Habari baada ya kurejesha fomu zake katika ofisi ya Tume jijini Dar esSalaam Mkutano utafanyika Makao Makuu ya ACT Wazalendo Magomeni Waandishi wa Habari Mnakaribishwa Kuhudhuria @ACT @Tumehuruyataifayauchaguzi @Tujitokezekupigakuraoctoba29 @Luhangampina @Zitokabwe