TAARIFA KWA UMMA.
LEO Septemba 13. 2025 Saa 6:00 Mchana Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo Ndugu Luhaga Joelson Mpina, ataongea na waandishi wa Habari baada ya kurejesha fomu zake katika ofisi ya Tume jijini Dar esSalaam
Mkutano utafanyika Makao Makuu ya ACT Wazalendo Magomeni
Waandishi wa Habari Mnakaribishwa Kuhudhuria
@ACT @Tumehuruyataifayauchaguzi @Tujitokezekupigakuraoctoba29
@Luhangampina @Zitokabwe

Maoni