Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba 1, 2025

DKT.MWINYI : AJIRA KWA VIJANA KUWA SERA MAMA YA SERIKALI IJAYO.

Picha
  Na Mwandishi Wetu, Pangawe, Zanzibar. Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Sera Mama ya Serikali atakayoiongoza katika Awamu ijayo itakuwa ni ajira kwa Vijana. Akihutubia mamia ya Wanachama wa CCM na wananchi katika Uwanja wa Magirisi-Nyarugusu katika Jimbo la  Pangawe ikiwa ni muendelezo wa kampeni zake za Uchaguzi Mkuu, Dkt. Mwinyi amesema Serikali inalifahamu kwa undani changamoto ya ajira kwa vijana na imejipanga kulitafutia suluhisho la kudumu. Dkt.Mwinyi ameeleza kuwa Serikali itaendeleza mikakati ya kutoa ajira Serikalini, kuhamasisha ajira katika Sekta Binafsi, pamoja na kuwezesha Vijana kupata mikopo isiyo na riba kwa ajili ya kujiajiri na kuanzisha biashara zao wenyewe. Kuhusu miundombinu, Dkt. Mwinyi amesema Serikali tayari imesaini mkataba na mkandarasi kwa ajili ya ujenzi wa barabara kuu na barabara za ndani katika J...

TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

Picha
  @taifastars_ @caf_online @ligikuu @bonwambura70 @ligikuu @taifastars_

KIKOSI CHA TAIFA STARS HIKI HAPA

Picha
Kikosi cha @taifastars_ kitakachoingia kambini kwa mchezo wa Kufuzu Kombe la Dunia 2026 vs Zambia.