MICHEZO




NAIBU katibu Mkuu wa Wizara  ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amewaaga wanamichezo wa wizara hiyo watakaoshiriki katika michezo ya Shirikisho la Michezo kwa wizara na Idara za serikali leo Septemba 1, 2025 kuelekea Jijini Mwanza.

Felister ametoa rai kwa washiriki hao kuwa makini na kujali afya zao pindi wanapokuwa katika mashidano hayo ili waweze kurejea salama na kuendelea na majukumu yao.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.