NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUTUMIKA MAGEREZA YOTE NCHINI
Matukio mbalimbali katika picha yakimuonesha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia magerezani, iliyofanyika Agosti 30, 2025, Gereza Karanga, Kilimanjaro.









Maoni