TCDC YATOA ELIMU YA MALIPO KWA NJIA YA BENKI NA SIMU WILAYA YA MEATU
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imetoa mafunzo ya elimu kuhusu mfumo wa malipo ya zao la pamba kwa njia ya benki na simu katika Wilaya ya Meatu, mafunzo hayo yamehusisha Makatibu Mameneja, Wenyeviti na Makarani wa AMCOS 71 kutoka wilaya hiyo.



Maoni