TCDC YATOA ELIMU YA MALIPO KWA NJIA YA BENKI NA SIMU WILAYA YA MEATU




Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imetoa mafunzo ya elimu kuhusu mfumo wa malipo ya zao la pamba kwa njia ya benki na simu katika Wilaya ya Meatu, mafunzo hayo yamehusisha Makatibu Mameneja, Wenyeviti na Makarani wa AMCOS 71 kutoka wilaya hiyo.






Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.