HABARI PICHA
Wajumbe wa Mkutano wakifuatilia mada juu ya Haki za Binadamu na Misingi ya Utawala Bora zinazotolewa wakati wa mafunzo ya Sekretarieti ya Kusimamia Maadili na Kushughulikia Mrejesho ya Makao Makuu ya Polisi yanayofanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA) Disemba 17, 2025.





Maoni