HABARI PICHA




Wajumbe wa Mkutano wakifuatilia mada juu ya Haki za Binadamu na Misingi ya Utawala Bora zinazotolewa wakati wa mafunzo ya Sekretarieti ya Kusimamia Maadili na Kushughulikia Mrejesho ya Makao Makuu ya Polisi yanayofanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA) Disemba 17, 2025.






Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.