ECOWAS YATARAJIA KUKUTANA HII LEO JIJINI ABUJA NIGERIA
JUMUIYA ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi, ECOWAS inatarajiwa kukutana hii leo jijini Abuja nchini Nigeria, wakati huu ikitangaza hali ya hatari ya kikanda kufuatia kuongezeka kwa uongozi wa kijeshi na majaribio ya mapinduzi katika nchi za Mali, Burkina Faso, Niger, Guinea, na njama ya hivi punde zaidi nchini Benin ikitoa tahadhari mpya.

Maoni