ECOWAS YATARAJIA KUKUTANA HII LEO JIJINI ABUJA NIGERIA





JUMUIYA  ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi, ECOWAS inatarajiwa kukutana hii leo jijini Abuja nchini Nigeria, wakati huu ikitangaza hali ya hatari ya kikanda kufuatia kuongezeka kwa uongozi wa kijeshi na majaribio ya mapinduzi katika nchi za Mali, Burkina Faso, Niger, Guinea, na njama ya hivi punde zaidi nchini Benin ikitoa tahadhari mpya.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.