AMNESTY INTERNATIONAL YALISHUTUMU KUNDI LA HAMAS
SHIRIKA la Amnesty International limeishtumu Hamas na makundi mengine ya wapiganaji wa Kipalestina kwa mara ya kwanza kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu, ikiwemo mauwaji, wakati na baada ya shambulio la Oktoba 7, 2023 lililochochea vita vya Gaza.
#HamasIsISIS ##palestine #AmnestyInternational

Maoni