RAIS DKT.SAMIA AONGOZA KIKAO CHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI IKULU CHAMWINO
![]() |
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao Kazi cha Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 19 Novemba, 2025.



Maoni