BALOZI PINDI CHANA AKIPA KATIKA KATIKA KIKAO CHA PILI CHA BUNGE LA TANZANIA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe,Mhe. Balozi Dkt.Pindi Chana akiapa rasmi kuwa mbunge katika Mkutano wa Kwanza, Kikao cha Pili cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Novemba 12,2025.

Maoni