WAZIRI NDUMBARO ATEMBELEA MAZOEZI YA STARS
WAZIRI wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro, ametembelea mazoezi ya Timu ya Taifa Stars @taifastars_ yaliyofanyika uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kufuzu kombe la Dunia 2026 dhidi ya Zambia utakaochezwa Oktoba 8, 2025 Amaan, Zanzibar. (Picha kwahisani ya TFF)





Maoni