POLISI PWANI WACHANGIA DAMU HOSPITALI YA RUFAA TUMBI.
LEO tarehe 15, Oktoba 2025 Kikosi cha Afya Mkoa wa Pwani kwa kushirikiana na hospitali ya Rufaa ya Tumbi Mkoani humo wameendesha zoezi la uchangiaji damu kwa askari likiwa na lengo la kusaidia wahitaji katika hospitali hiyo.


Maoni