POLISI PWANI WACHANGIA DAMU HOSPITALI YA RUFAA TUMBI.



LEO tarehe 15, Oktoba 2025 Kikosi cha Afya Mkoa wa Pwani kwa kushirikiana na hospitali ya Rufaa ya Tumbi Mkoani humo wameendesha zoezi la uchangiaji damu kwa askari likiwa na lengo la kusaidia wahitaji katika hospitali hiyo.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.