JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA (TEF) LAPONGEZA JWTZ KWA HATUA ILIZOCHUKUA JUU YA VIDEO INAYOHUSISHA JESHI NA SIASA.
























JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limepongeza hatua za haraka zilizochukuliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kukemea video na taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya jamii zinazohusisha jeshi hilo na siasa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.