DKT. HUSSEIN ALI MWINYI AHUDHULIA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALIMU DUNIANI.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi alipozungumza katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Walimu Duniani, yaliyofanyika katika Viwanja vya Polisi Ziwani, Mkoa wa Mjini Magharibi, leo tarehe 5 Oktoba 2025.




Maoni