WANAFUNZI SHULE YA MSINGI NDALA "A" WAPATIWA MAFUNZO YA NAMNA YA KUZIMA MOTO.
Konstebo Erick Costantine akiwafundisha Wanafunzi wa Shule ya Msingi Ndala "A" iliyopo Mkoani Shinyanga namna ya kuzima moto kwa kutumia fire blanket, elimu hiyo imetolewa Septemba 30, 2035 (Picha na Jeshi la Zimamoto)

Maoni