TANGAZO.
OFISI YA MKUU WA WILAYA YA IGUNGA IKISHIRIKIANA NA OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IGUNGA ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA,
Hospitali ya Wilaya Igunga inategemea kupokea timu ya madaktari Bingwa wa Mh.Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuanzia tarehe 29/09/2025 hadi tarehe 03/10/2025.
Madaktari Bingwa watakaokuwepo ni
01. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya wanawake( kinamam)
02. Daktari Bingwa wa Magonjwa ya ndani (mfano kisukari,pressure nk)
03. Daktari Bingwa wa Upasuaji
04. Daktari Bingwa wa magonjwa ya kinywa na meno
05. Daktari Bingwa wa watoto
06. Daktari Bingwa wa Usingizi na ganzi
07. Muuguzi mbobezi.
Wananchi wote wenye uhitaji wa huduma hizo wafike Hospitali ya Wilaya Igunga.
Huduma zitatolewa kwa gharama nafuu kabisa.
NYOTE MNAKARIBISHWA.
Maoni