RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS.
Dodoma. RAIS DKT. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 09.08.2025 akiwa na Mgombea Mwenza DKT. Balozi Emmanuel Nchimbi wamefika katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais na Makamu wa Rais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu Octoba 2025.
Maoni