RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS.







Dodoma. RAIS DKT. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 09.08.2025  akiwa na Mgombea Mwenza DKT. Balozi Emmanuel Nchimbi wamefika katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais na Makamu wa Rais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu Octoba 2025.








Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.