NAIBU WAZIRI SANGU AONGOZA KURA ZA MAONI JIMBO LA KWELA

 

Na. Mwandishi Wetu- Sumbawanga

ALIYEKUWA Mbunge wa Kwela mkoani Rukwa, Mhe.Deus Sangu ambaye pia ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na  Utawala Bora ameongoza kura za maoni jimboni humo na kuwaacha mbali wapinzani wake wanne  katika mchakato huo.

Matokeo yaliyotangazwa mapema leo  Jumanne  Agosti 6, 2025 Mhe.Sangu  amepata kura 9,957,  dhidi ya Justin Hiari aliyepata kura 2,973,  Derick Sikale kapata 507,  Walter Simsokwe kapata 112  na Yuster Bahati  kaambulia kura  102

Taarifa za matokeo hayo zinaeleza kuwa jumla ya Wajumbe 13,496 walipiga  kura   ambapo kura halali zilikuwa 13,278 na kura 218  ziliharibika.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.