MAANDALIZI YA KUELEKEA MIAKA 64 YA MAGEREZA YAKAMILIKA.





MAANDALIZI yamekamilika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Miaka 64 ya Jeshi la Magereza Baada ya Uhuru, ambayo yatafanyika Agosti 26, 2025 katika Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania, Ukonga Dar Es Salaam, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.












Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MWENYEKITI NAMALULU AWEKWA PEMBENI KUPISHA UCHUNGUZI

IGUNGA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA NANENANE TABORA.