DIAMOND AMJIBU BABA LEVO NA MBOSSO.
STARA wa Bongo Fleva, @diamondplatnumz , ameweka wazi msimamo wake kupitia ujumbe aliouandika kwenye ukurasa wake wa Instagram akieleza kutofurahishwa na mwenendo wa rapa Baba Levo juu ya Msanii @mbosso_
Diamond amesema anamuheshimu Baba Levo kama kijana mwenzake, lakini vitendo vyake vinamfanya ahisi kuna agenda asiyoijua, jambo linalomlazimisha kukaa mbali naye.
#Diamondplatinumz #WCB #Babalevo #Mwijaku #Mbosso

Maoni